Hesperian Health Guides
Sura ya 15: Utoaji mimba na matatizo yanayotokana na utoaji mimba
HealthWiki > Pale ambapo Wanawake hawana Daktari > Sura ya 15: Utoaji mimba na matatizo yanayotokana na utoaji mimba
Katika sura hii:
- Sura ya 15: Utoaji mimba na matatizo yanayotokana na utoaji mimba
- Kwa nini baadhi ya wanawake hutoa mimba?
- Utoaji mimba salama na usiyo salama
- Kufanya uamuzi juu ya kutoa mimba
- Njia salama za utoaji mimba
- Nini cha kutarajia katika utoaji mimba salama?
- Nini cha kutarajia baada ya kutoa mimba?
- Uzazi wa mpango baada ya utoaji mimba
- Matatizo ya kiafya yanayohusiana na utoaji mimba
- Kudhibiti utoaji mimba usiyo salama
Kama njia za uzazi wa mpango zitashindikana, angalau utoaji mimba kisheria ni njia salama kiasi kwa mwanamke |
![]() |
Ukosefu wa huduma za uzazi wa mpango na ukosefu wa taarifa sahihi juu ya ngono huchangia mimba zisizotakiwa na utoaji mimba.
Mwanamke anapofanya kitendo chochote kukatisha ujauzito ni utoaji mimba. Katika kitabu hiki, neno utoaji mimba linaelezea tu kitendo cha makusudi ambacho kimepangwa. Tukio la ujauzito kutoka au kukatishwa kwa bahati mbaya hujulikana kama mimba kuharibika (miscarriage).
Ukurasa huu ulihuishwa: 05 Feb 2018