Hesperian Health Guides
Kuvia damu kutokana na majeraha chini ya ngozi
HealthWiki > Toleo Jipya: Mahali Pasipo na Daktari > Huduma ya kwanza > Kuvia damu kutokana na majeraha chini ya ngozi
Kuvia damu kichwani au tumboni inaweza kuwa dalili ya tatizo kubwa zaidi. Angalia jinsi ya kufanya kama siku za karibuni mtu huyu alipata kipigo kikali kichwani au tumbo.
Kama utaona mtu anavilia damu mara kwa mara, au ana majeraha ya aina hiyo katika hatua tofauti za uponaji, hii inaweza kuwa dalili kuwa anafanyiwa mateso na ukatili. Angalia Vurugu (kinaandaliwa).